Labels

Wednesday, October 16, 2013

Yesu ni nani?


Yesu wa Nazareti ni nani kwako? Maisha yako hapa duniani na ya milele yanaguswa na jibu lako kwa swali hili?

dove
Nani, kwa maoni yako, ni...
  • Mtu wa ajabu kupita watu wote katika nyakati zote?
  • Nani aliyejitokeza kuwa mtu mashuhuri kwa vipindi vyote?
  • Kiongozi mkuu?
  • Mwalimu mkuu?
  • Mtu aliyefanya matendo mema kwa wanadamu kupita mwingine?
  • Mtu aliyeishi maisha matakatifu kuliko yeyote aliyewahi kuishi?
Tembea sehemu yoyote ulimwenguni. Ongea na watu wa dini yoyote. Haijalishi jinsi walivyoshikilia tabaka za dini zao, kama wanajua chochote kuhusu historia, watakubali kwamba hakujawahi kuwa na mtu kama Yesu wa Nazareti. Yeye ni mtu wa ajabu mno kuliko watu wote wa enzi zote.

Yesu alibadilisha mwenendo wa historia. Hata tarehe kwenye gazeti lako la leo inathibitisha kwamba Yesu wa Nazareti aliishi ulimwenguni karibu miaka 2,000 iliyopita. Maandishi kwa Kiingereza "B.C." yanasimamia nyakati kabla ya kuzaliwa kwa Kristo; vilevile maandishi "A.D." yanasimamia nyakati baada ya kuzaliwa kwa Kristo.
KUJA KWAKE KULITABIRIWA
Mamia ya miaka hata kabla ya Yesu kuzaliwa, maandiko yaonyesha wanabii wa Israeli wakitabiri kuja kwake. Agano la kale, lililoandikwa na watu wengi katika muda wa miaka 1,500, lina unabii zaidi ya 300 kuhusu kuja kwa Yesu. Yote yaliyotabiriwa yalitendeka, pamoja na kuzaliwa kwake kimiujiza, maisha yake matakatifu, kufa na kufufuka kwake.

Maisha aliyoishi Yesu, miujiza aliyotenda, maneno aliyosema, kufa kwake msalabani, kufufuka kwake, kupaa kwake mbinguni - yote yathibitisha kwamba yeye hakuwa mwanadamu peke yake bali alikuwa zaidi ya mwanadamu. Yesu alisema, "Mimi na Baba tu umoja" (Yohana 10:30), "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:9) na, "Mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." (Yohana 14:6).
MAISHA  NA UJUMBE WAKE HUSABABISHA MABADILIKO
Tazama maisha na mvuto wa Yesu wa Nazareti, Mesiya, katika historia yote na utaona kwamba yeye na ujumbe wake huleta mabadiliko makubwa katika mataifa na maisha ya wanaume na wanawake.5000 Popote mafunzo yake yalipoenea, utakatifu wa ndoa, haki na sauti ya wanawake imetiliwa maanani; shule na vyuo vikuu vimeanzishwa; sheria za kulinda watoto zimeandikwa; utumwa umeachishwa; na mabadiliko mengine mengi yamefanywa kwa manufaa ya wanadamu. Maisha ya watu binafsi yamebadilishwa kiajabu. Kwa mfano, Lew Wallace, jemedari aliyejulikana na mwandishi shupavu, alikana Mungu yupo. Kwa miaka miwili, Bw. Wallace alisoma kwenye maktaba zilizo bora sana kule Ulaya na Merikani, akitafuta habari ambazo zingeangamiza kabisa dini ya Kikristo. Alipokuwa akiandika sura ya pili ya kitabu hicho, alijikuta ghafla ameanguka magotini na kulia kwa Yesu akisema, "Bwana na Mungu wangu."
Kwa sababu ya ushuhuda usioweza kukanwa, hakuweza kuendelea kukana kwamba Yesu Kristo alikuwa mwana wa Mungu. Baadaye, Lew Wallace aliandika kitabu kilichoitwa "Ben Hur", moja wapo ya vitabu shwari vilivyo andikwa katika lugha ya Kiingereza kuhusu nyakati za Kristo.

Vile vile, marehemu C. S. Lewis, profesa wa chuo kikuu cha Oxford, alikana kwamba Kristo alikuwa pia Mungu kwa miaka mingi. Lakini, yeye pia, kwa hekima za ukarimu, alijinyenyekeza mbele za Yesu kama Mungu na Mwokozi baada ya kusoma ushahidi usio na pingamizi kwamba Yesu pia alikuwa Mungu .
BWANA, MWONGO AU MWENDA WAZIMU?
Katika kitabu chake kilichojulikana sana "Mere Christianity", Lewis aliandika, "Mtu ambaye alikuwa mwanadamu peke yake na kusema maneno kama aliyoyasema Yesu hawezi kamwe kuwa mwalimu wa utu wema. Huenda ikawa alikuwa mwenda wazimu - sawasawa na mtu anayesema kwamba yeye ni yai lililochemshwa - au roho chafu kutoka kuzimu. Wewe lazima uchague. Kama yeye alikuwa, na hata sasa ni Mwana wa Mungu, au yeye ni mwenda wazimu au kitu kibaya zaidi. Unaweza kumwita mpumbavu au unaweza kujinyenyekeza chini ya miguu yake na kumwita Bwana na Mungu. Lakini tusije na maneno hohehahe tukisema kwamba yeye alikuwa mwalimu shupavu wakibinadamu tu. Yeye hajaacha hilo chaguo wazi kwetu."

Yesu wa Nazareti ni nani kwako? Maisha yako ya hapa duniani na pia ya uzima wa milele yatategemea jibu lako kwa swali hili.

Dini zote zingine zilianzishwa na wanadamu na zinategemea falsafa za kibinadamu, kanuni na pendekezo za tabia. Ondoa waanzilishi wa dini hizi kutoka idhini na tabaka za kuabudu, na machache sana yatabadilika. Lakini ondoa Yesu Kristo kutoka Ukristo na hakuna chochote kitakachobaki. Ukristo uliopendekezwa kwenye Biblia siyo falsafa ya maisha peke yake, wala siyo tabaka na njia za kimila za kuabudu. Msingi wa Ukristo wa kweli ni uhusiano wa kibinafsi na Mwokozi na Bwana aliyefufuka na anayeishi.
MWANZILISHI ALIYEFUFUKA
Yesu wa Nazareti alisulubiwa, akazikwa kwenye kaburi lililokopwa, na siku ya tatu alifufuka kutoka wafu; Ukristo niwa kipekee kwa ajili ya jambo hili. Ubishi wowote juu ya ukweli wa Ukristo utategemea uthibitisho wa kufufuka kwa Yesu wa Nazareti.

Katika enzi zote, waliohitimu katika masomo na kuchunguza sana mathibitisho ya ufufuo wameamini, na wangali wanaamini kuwa Yesu yuhai. Baada ya kuchunguza mathibitisho ya ufufuo kama yalivyoandikwa na waandishi wa Injili, marehemu Simon Greeleaf, aliyehitimu kwa mambo ya kisheria katika Harvard Law School, alisema; "Haingewezekana kamwe kwao kuendelea kusisitiza ukweli wa mambo walionena, kama Yesu kweli hakufufuka kutoka wafu, na kama hawakujua jambo hili kama walivyojua ukweli wowote mwingine walioujua kwa uhakika.
John Singleton Copley ambaye ni mwanasheria aliyetambulikana sana, alisema: "Najua kiasi kwamba ushahidi ni kitu gani; nakwambia, ushahidi kama ule uliotolewa kuthibitisha ufufuo bado haujawahi kuvunjwa."
SABABU ZA KUAMINI
Ufufuo ni msingi katika imani ya Mkristo. Kuna sababu kadha wa kadha ambazo wale wanaosoma kuhusu ufufuo wanaamini kuwa ufufuo ulitendeka:�
boatKUTABIRIWA: Kwanza, Yesu alitabiri habari za kifo chake na ufufuo na zikatendeka kadri na jinsi alivyotabiri ( Luka 18:31-33).

KABURI LILIYO WAZI: La pili, ufufuo ni kielelezo cha pekee cha kaburi lililo wazi. Ukisoma Biblia kwa makini, utaona kwamba kaburi ambalo walilolaza mwili wa Yesu lililindwa barabara na wanajeshi wa Kirumi na pia lilizibwa na jiwe. Kama Yesu hakuwa amekufa, bali alikuwa amedhoofika - kama wengine walivyosema, walinzi na jiwe pia lingezuia juhudi za kuhepa au kusaidiwa na wafuasi wake. Maadui wa Yesu hawangechukua mwili kwa sababu kukosekana kwa mwili huo pale kaburini ingalitia nguvu imani juu ya kufufuka kwake.
KUONANA KIBINAFSI: La tatu, ufufuo ni kielelezo cha kipekee cha kuonekana kwa Yesu na wafuasi wake. Baada ya kufufuka kwake, Yesu alionekana mara zisizopungua 10 na wale waliomjua na pia kwa watu 500 waliokusanyika pamoja. Bwana aliwathibitishia kwamba kuonekana kwake mara tatu hizikuwa ndoto. Alikula na kuongea nao na walimgusa ( 1 Yohana 1 :1).

KUZALIWA KWA KANISA: La nne, ufufuo ni sababu ya pekee ya kueleza sababu ya kanisa kuanzwa. Kanisa la Kristo ni chama kikubwa kuliko vingine vilivyoko sasa pia vilivyowahi kuwepo katika historia ya ulimwengu. Zaidi ya nusu ya mahubiri ya kwanza yaliyohubiriwa yalikuwa kuhusu ufufuo (Matendo 2:14-36). Hakika kanisa la kwanza lilijua kwamba jambo hili litakuwa msingi wa ujumbe wake. Maadui wa Yesu wangelikomesha wakati wowote kwa kuutoa mwili wa Kristo.

MAISHA YALIYOBADILISHWA:
 La tano, ufufuo ni kielelezo cha kipekee cha maisha yaliyobadilishwa ya wafuasi wake. Walimwacha kabla ya kufufuka kwake; baada ya kifo chake walikufa moyo na kuogopa. Hawakutarajia kwamba Yesu atafufuka kutoka wafu (Luka 24 :1-11).

Lakini baada ya kufufuka kwake na mambo waliyopata wakati wa Pentekote, hawa waliokufa moyo, waliopoteza hamu, wanaume kwa wanawake, walibadilishwa na nguvu za Kristo aliyefufuka. Katika jina lake, walifanya kishindo kikubwa duniani. Wengi walipoteza maisha yao kwa ajili ya imani yao; wengine waliudhiwa vibaya. Matendo yao ya ujasiri hayana kielelezo kamili isipokuwa kwamba waliamini Yesu Kristo kweli alifufuka kutoka wafu - jambo lililowatosha hata kukubali kufa kwa ajili yake.

Katika miaka 40 ya kufanya kazi na wataalamu wa vyuo vikuu ulimwenguni, sijawahi kukutana na mmoja ambaye ameyasoma mathibitisho ya dhati kuonyesha uungu wa Yesu wa Nazareti na pia kufufuka kwake, ambaye hakukubali kwamba yeye ni Mwana wa Mungu, Mesiya aliyeahidiwa. Ijapokuwa wachache hawaamini, wanasema kwa moyo wa kweli, "Sijachukua muda wowote kusoma Biblia au kuangalia mambo katika kihistoria yalitotendeka katika maisha ya Kristo."
jesusandgirlBWANA ANAYEISHI:  Kwa sababu ya ufufuo wa Yesu, wanafuasi wake wa kweli hawafuati tu orodha za mwanzilishi aliyekufa, bali wanauhusiano wa karibu na wakibinafsi na bwana aliyehai. Yesu Kristo yuhai leo na anabariki na kuimarisha maisha ya wote wanaomwamini na kumtii. Katika enzi zote, wengi wamedhihirisha kufa kwake Yesu Kristo, kati yao wakiwa watu waliotenda makuu ulimwenguni.

Mwanafizikia na mwanafalsafa wa Kifaransa Blaise Pascal alisema jinsi mwanadamu anavyomhitaji Yesu aliposema, "Kuna pengo katika moyo wa kila mwanadamu linayoweza kuzibwa na Mungu peke yake kupitia Mwana wake Yesu Kristo."
Je, ungependa kumjua Yesu Kristo kama Mwokozi wako? Unaweza! Yesu anahamu ya kuanza uhusiano wa kibinafsi uliojaa upendo kwako. Ameshafanya matayarisho yote.
Kujua jinsi ya kuanza uhusiano na Kristo aliyehai, bonyeza hapa...

Tuesday, June 25, 2013


Awana (derived from the first letters of Approved Workmen Are Not Ashamed as taken from 2 Timothy 2:15) is an internationalevangelical nonprofit organization founded in 1950, headquartered in Streamwood, Illinois. The mission of Awana is to help "churches and parents worldwide raise children and youth to know, love and serve Christ."[1] Awana is a non-denominationalprogram and licenses its curricula to any church willing to pay for and use the Awana materials consistent with its principles. In addition to its programs for children and teenagers, Awana has prison ministries, and a parallel curriculum for family use – the "Awana-At-Home" series.

Contents

  [hide

Curricula[edit]

Awana offers multiple curricula levels from toddlers to senior high-school. In the U.S. and Canada, Awana is split into six age groups: Puggles (2 yr olds), Cubbies (3 & 4 yr old or "the 2 years prior to Kindergarten"), Sparks (Kindergarten, Grade 1 & 2), Truth & Training (T&T) (for grades 3, 4, 5 & 6), Trek (grades 7, 8, 9) and Journey (High school). Most recently T&T divided up into Pals (Boys Grade 3 & 4), Chums (Girls Grade 3 & 4), Pioneers (Boys Grade 5 & 6), and Guards (Girls Grade 5 & 6), which changed in the late 1990s. Originally Pals and Chums were Grades 3 to 5 and Pioneers and Guards included Grades 6 to 8. Trek and Journey, which are under the 24/7 Ministries banner, were called, respectively, Jr. Varsity and Varsity. Internationally, the age groups offered vary in each country and materials are available in many languages. Awana's prison ministries (Malachi Dads) attend the needs of inmates by providing parental coaching to incarcerated fathers, and to children of inmates by sponsoring events in prisons to bring children and their inmate fathers closer together.
Puggles has three "friends" in the materials  – Sydney the Koala, Alice the Kangaroo, Puggle the Platypus. The precepts taught are that "God made all things", "give thanks" and "God is love".
Cubbies friends include Cubbie Bear, Ern E. Elephant and Luv E. Lamb. This material is currently being updated and new materials are to be implemented fall 2013. Current handbooks are "Hopper" and "Jumper".
Sparks friends include Sparkie the firefly and children named Chloe, Joel, Jacob and Chloe's dog Sebastian. The original three-book series was called Skipper, Hiker and Climber but this material was updated 2009-2011 and are now called HangGlider, WingRunner and SkyStormer. If a clubber completes all three books they earn the Sparky Award Plaque.
T&T (truth and training) friends include children and the dog, Streamwood. The books are called Ultimate Adventure 1 and 2 and Ultimate Challenge 1 and 2. There is an award for each book completed between Grade 3 to Grade 12  – Alpha Award (one book), Excellence Award (two books), Challenge Award (three books) and Timothy Award (four books).
Trek is based on a travel theme. It has three years worth of lessons so the program can be used for Grades 6, 7 and 8 depending on local school and church preferences. The three years are called the Billboard, Roadsign and Dashboard Series. Additional awards available are the Milestone Award and Meritorious Award (six books between Grade 3 to Grade 12).
Journey is based on Bible studies of individual books of the Bible with some optional topical studies (12 weeks each). Each year there is one study that is chosen by Awana for all clubs to use if they plan to participate in quizzing. To complete a year of Journey curriculum, students must complete the Faith Foundation (a small booklet containing a few verses), two studies and read one-quarter of the Bible (books are specified). If a student completes all 10 years of material from Grade 3-12, the Citation Award is awarded. This is the highest level of achievement and considered a great honor.

Awana events[edit]

Awana missionaries and volunteers run local, state (provincial) and regional competitions between churches' Awana programs. These involve Bible Quizzing, AwanaGames, Sparks-A-Rama, and Awana Grand Prix. High-school age Awana students can also participate in an annual national event called Summit.
Awana missionaries help churches start the Awana ministry, train church leaders how to introduce kids and youth into the Awana program and instruct church leaders at Awana Ministry Conferences on how to better utilize the Awana ministry.
Awana missionaries are completely "faith supported" by donations from churches and individuals, thereby acquiring all of the funds necessary to keep each of their ministries funded in addition to receiving all funds needed for their personal housing and income needs.

Non-profit status[edit]

Awana broadly encompasses the following tax-exempt entities:
  • Awana International;
  • Awana Clubs International;
  • Awana International Canada
  • Impact Life, and;
  • Canadian Adventure, Inc.
According to the 2006 Form 990 filed with the IRS by Awana Clubs International, ACI reported gross revenues of $45,595,800 --- significantly higher than the amounts reported for both 2004 ($41,464,006) and 2005 ($41,513,499) within the Awana "2004–2005 Financial Highlights" report,[2] but this gross revenue variation may be due to a timing difference with the actual start and end date of the ACI tax year or a transfer of funds between the various Awana EOs.[3]
At the close of 2007, Awana was named one of 30 "Shining Light Ministries" by MinistryWatch.com, a financial watchdog group. The award is based on passing a number of stringent financial accounting and reporting standards.[4] Awana is also a member of the Evangelical Council for Financial Accountability (ECFA).

See also[edit]

References[edit]

External links[edit]